Monday, September 30, 2013

Fr. Jinu akifanya mawasiliano

Mmoja wa Mapdri wa Parokia ya Vikindu, Fr.Jinu Joseph akifanya mawasiliano kwa kutumia simu yake ya mkononi huku masista wa Carmel wakifuatilia kwa makini matukio ya sherehe ya Mt.Vinsenti wa Paulo iliyofanyika tarehe 29/9/2013 kwenye viwanja vya parokia ya Vikindu.

No comments: