Friday, September 27, 2013

Hatujafanya vizuri katika Ufugaji wa samaki wa mabwawa

Tanzania hatujafanya vizuri katika ufugaji wa samaki kwa kupitia mabwawa licha ya fursa zilizopo. Kuna kutajirika kwa kufuga samaki pia ni njia rahisi ya kujipatia lishe.

No comments: