Friday, September 27, 2013

Furaha ya Power Tiller

Kweli ni furaha ya Power Tiller. Hakuna anayependa kulima kwa mkono. Kilimo cha mkono kinachosha,tija ni ndogo na pia hakivutii vijana. Je, powertillers zilizokuwa gumzo mwaka 2010 zinaendeleaje huko vijijini waliko wakulima?

No comments: