Tuesday, September 24, 2013

Kijana akijaanda kuiba mafuta kutoka kwenye lori la mafuta

Kuna vijana wenye mazoea ya kufuatilia malori yanayosafirisha mafuta kwa lengo la kuyaiba kupitia mifuko ya rambo. Ni hatari kwa uhai wao na pia mafuta wanayoiba mara nyingi ni mabaki ya mafuta kwa hiyo kuna hatari kwa wanaouziwa kutumia mafuta yaliyo chini ya kiwango. Tujihadhari na mafuta ya vidumu.

No comments: