Monday, September 30, 2013

Maji bwelele Kisemvule

Wakati wengine wana shida kubwa ya maji, wananchi wa kijiji cha Kisemvule wilaya ya Mkuranga mkoa wa Pwani nchini Tanzania maji si tatizo ukichimba kidogo unapata maji ya kutosha tena siyo ya chumvi.Hii pengine ndiyo sababu ya wawekezaji wa viwanda kupenda eneo hili na hivi sasa kuna viwanda vingi kikiwemo cha sementi ambacho kinatumia maji mengi.

No comments: