Tuesday, September 24, 2013

Mashindano ya soka kijijini Kisemvule

Kuna mashindano ya mpira wa soka yanayoendelea kijijini Kisemvule hivi sasa. Mshindi hajapatikana lakini hapa kuna vipaji kwakweli kuna vijana wanaoweza kuuchezea mpira wapendavyo!

No comments: