Tuesday, September 17, 2013

Nami nilivaa joho la mwanangu

Nakumbuka sikuvaa joho wakati nilipohitimu elimu yangu ya Sekondari. Tarehe 14/09/2013 nilibahatika kuvaa joho la mwanangu Sisty Banzi. Na hapa najipongeza huku mwanangu Maria akiniangalia.

No comments: