Monday, September 30, 2013

Wanawake watafiti wa Kilimo


 Ishika Mshaguley na Vidah Mahava ni Watafiti wa Kilimo wanawake kutoka Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika. Hapa wako kwenye kikao kazi cha Kupelemba na Kutathmini shughuli za Utafiti wakiwa kwenye sekretarieti ya Kikao hicho.Kila mmoja wao ana kidadavuzi mpakato!


No comments: