Friday, September 27, 2013

Kumwagiana tindakali ni unyama

Hivi Watanzania tumefikia hatua hii ya kinyama? Mtun kama akikukosea, uungwana ni kumuuliza kwanini amekutendea hivyo. Hakuna haja ya kufanyiana visa kama hivi vya kumwagiana tindikali.Pichani Frateri Richard Haki akimsaidia Padri Anselmo Mwang'amba wa Kanisa Katoliki Zanzibar aliyemwagiwa tindikali hivi karibuni.

No comments: