Tuesday, September 3, 2013

Ng'ombe kilo 950

Rampuni ya Ranchi za Taifa (NARCO) imeweza kufuga ng'ombe mwenye kilo 950. Ng'ombe huyu alikuwa kivutio kwenye maonyesho ya wakulima ya Taifa yaliyofanyika Dodoma mwezi Agosti 2013.

No comments: