Tuesday, September 17, 2013

Hongera Sarah kupata sakramenti ya Kipaimara

Ray akimkumbatia nduguye Sarah kwa kupata Sakramenti kwenye Ibada ya Kipaimara iliyofanyika katika Shule ya Sekondari St.Mathew iliyopo katika wilaya ya Mkuranga, mkoa wa Pwani.

No comments: