Tuesday, September 3, 2013

Soseji za samaki kutoka Bukoba

Hapa nilipata bahati ya kula soseji za samaki kwenye banda la soseji za samaki. Mama mjasiriamali wa kutoka Bukoba Mary Karega.Alipohojiwa na kituo cha Televeshini cha ITV changamoto anazozipata kwenye biashara yake alisema kikwazo ni ukiritimba wa kupata idhini ya ubora wa bidhaa kutoka Tanzania Bureau of Standards (TBS)

No comments: