Friday, September 27, 2013

Ndizi zinaweza kumtoa lakini mtaji mdogo

Mwanamama huyu mchuuzi wa ndizi anahitaji mtaji mkubwa zaidi aweze kuuza ndizi zake kwa faida na kumsaidia huyo anayemtegemea aliyelala kifuani kwake. Wanawake wa aina hii wako wengi wanajitegemea. Wamekimbiwa na wanaume waliowazalisha lakini sikumoja watafanikiwa.Kuna haja ya Taifa kuwangalia na kuwawezesha akina mama wa aina hii.

No comments: