Monday, September 30, 2013

Ufuta aina ya Lindi 02 hutoa magunia 15 ya kilo 100 kwa hekta

Siajabu kwa mkulima kuvuna magunia 15 ya ufuta yenye kilo 100 kila gunia kwa hekta. Hii inawezekana kwa kulima ufuta aina ya Lindi 02 ambayo hukomaa kati ya siku 100-110 tangu iote.Aina hii ya ufuta ina asilimia 55 ya mafuta. Hii ni habari njema kutoka kwa watafiti wa Kilimo kutoka kituo cha Utafiti Naliendele,Mtwara.

24 comments:

ALMASSTZ said...
This comment has been removed by the author.
ALMASSTZ said...
This comment has been removed by the author.
ALMASSTZ said...
This comment has been removed by the author.
ALMASSTZ said...

jee kama mtu antaka kulima ufuta morogoro ni maeneo gani yanafaa

ALMASSTZ said...

jee kama mtu antaka kulima ufuta morogoro ni maeneo gani yanafaa

ALMASSTZ said...

jee kama mtu antaka kulima ufuta morogoro ni maeneo gani yanafaa

ALMASSTZ said...

jee kama mtu antaka kulima ufuta morogoro ni maeneo gani yanafaa

ALMASSTZ said...

jee kama mtu antaka kulima ufuta morogoro ni maeneo gani yanafaa

Unknown said...

M ntapataje hiyo mbegu...

Unknown said...

M ntapataje hiyo mbegu...

Innocent John Banzi said...

Ukitaka kupata mbegu hizo wasiliana na Mtafiti Mkuu wa Kilimo aliyebobea katika utafiti wa mbegu za mafuta hasa Ufuta na Karanga Dr. Omari Mponda wa kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele, Mtwara. E-mail :- kalanjekanduru@gmail.com ; mobile 0784471813

Innocent John Banzi said...

Ukitaka ushauri wa kitaalamu wa kilimo cha ufuta hapa Tanzania wasiliana na Mtafiti Mkuu wa Kilimo aliyebobea katika utafiti wa mbegu za mafuta hasa Ufuta na Karanga Dr. Omari Mponda wa kituo cha Utafiti wa Kilimo Naliendele, Mtwara. E-mail :- kalanjekanduru@gmail.com ; mobile 0784471813. Lakini ninavyofahamu kwa mkoa wa Morogoro ambako mimi natoka wilaya ya Morogoro vijijini sehemu za Matombo, Kisaki na mvua zinafaa kwa kilimo hicho. Pia wilaya za Kilosa, Gairo na hata Kilombero. Kama uko karibu na wilaya hizo fika ofisi za kilimo za wilaya kwa ushauri mzuri wa kitaalamu

Unknown said...

kwa hapa dar wapi wanauza hiyo mbegu ya lindi02

Unknown said...

Mh. mbeya maeneo ya lupa panafaa kulima zao hilo? kwa mm ndo naanza kwa heka tano nitatumia kiasi gani cha mbegu naomba msaada kwa hilo

Unknown said...

Mh. mbeya maeneo ya lupa panafaa kulima zao hilo? kwa mm ndo naanza kwa heka tano nitatumia kiasi gani cha mbegu naomba msaada kwa hilo

Aidan said...

Mimi nipo Mwanza, napenda sana kilimo cha ufuta ila je kuhusu hali ya hewa inawezesha kilimo hicho kufanya vizuri huku???

Unknown said...

Nipo Tanga Nita pataje hiyo mbegu 0755-971092

Unknown said...

Nipo tanga nitapataje hyo mbegu 0714419408

Unknown said...

Good Ila tatizo liko kwenye upatikanaji was hyo mbegu

Unknown said...

Nataka kujitosa kulima zao hilo hapo Mtwara, natafuta mwenyeji nijue namna ya kupata shamba la kukodisha na bei ya yake kwa ekari inakuaje.
Mwenye kujua naomba msaada kama mashamba ya kukodisha yanapatikana.
Mimi niko Dar kwa sasa.

Unknown said...

Kwa masasi hizo mbegu nitazipata wapi?

Unknown said...

Utofauti wake katika kustahimili magonjwa ukoje hii mbegu ya Lindi 02?

Unknown said...

Naomba kuuliza gunia la kilo mia moja mafuta kiasi gani

Unknown said...

Naitaji ushauri juu ya kilimo Cha ufuta. Niko shamba liko mkoa wa pwani wilaya ya kibiti