Thursday, June 28, 2012

Afisa Kiungo wa Kanda ya Mashariki

Lawrence Alphonce Kadeng'uka a.k.a Kade kwa sasa ni Afisa Kiungo wa Utafiti, Ugani na Mkulima Kanda ya Mashariki. Makao Makuu yake yako Kituo cha Utafiti Ilonga, Kilosa-Morogoro. Kade huratibu masuala yote yanayohusiana na usambazaji wa teknolojia za kilimo kanda ya Mashariki anaongea na watafiti, wagani pamoja na Serikali za Mitaa kuhakikisha kuwa wakulima wanapata Teknolojia bora kutoka kwa watafiti, wagani wanasambaza teknolojia hizo kwa kutumia njia sahihi katika mazingira husika. Hatimaye wakulima wanazitumia teknolojia hizo katika kuboresha uzalishaji wa mazao na mifugo hivyo kuinua kipato chao na kuboresha uchumi wa nchi.

No comments: