Friday, June 29, 2012

Inaitwa 'Segere'!

Ndivyo alivyonieleza mama wa Kimasai (aliyeficha uso ili asipigwe picha) niliyemkuta Handeni mjini akiendesha biashara yake, nilipomhoji kifaa kinachoning'inia kwenye nguzo chenye urembo mzuri! Sasa sijui ni segere matata au vipi lakini wengine huita 'utunda', 'chachandu'....

No comments: