Friday, June 29, 2012

Utafiti wa muhogo - Kibaha

Kituo cha Utafiti wa Kilimo- Kibaha kilichopo mkoani Pwani kinaendelea na utafiti wa zao la muhogo. Kwa mujibu wa Afisa Utafiti Kilimo Mkuu Bwana Marton Muhana, aina ya muhogo unaopendwa na wakulima na walaji kwa ukanda wa Pwani ni aina ya 'kiroba' kwa maelezo zaidi tembelea kituo cha Kibaha (Pichani mtafiti Muhana akitoa maelezo kwa timu ya ufuatiliaji na tathmini ya shughuli za utafiti inayoongozwa na Programu ya Kuendeleza Sekta ya Kilimo (ASDP)

No comments: