Wednesday, June 27, 2012

Sayansi ipo kituo cha Utafiti Mikocheni

Sayansi ipo Mikocheni.Hii ni maabara bora kabisa ya baiteknolojia hapa nchini chini ya Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika.Kwa sasa watafiti katika kituo hiki wanaendelea na tafiti za kupata mbegu bora za muhogo zinazohimili magonjwa hatari ya muhogo.

No comments: