Saturday, June 16, 2012

Mama Mloka

Mama P.Mloka (katikati) alihakikisha kuwa kila kitu kinakwenda sawa kuanzia Dar hadi Matombo kwenye mazishi ya Dr.G.P.Mluge. Wa kwanza kushoto ni Da Eliza Semsela na kulia ni Mama Beatrice P.Mhango

No comments: