Friday, June 1, 2012

Na hii ndiyo misemo ya Waluguru

1. 'Bita ako si miyage' - Si vizuri kuacha mtu akafanya kitu kivyake vyake 2. 'Chikwili ng'awingagwa na Seko'- Huwezi kumfukuza mnyama anayeitwa 'Chikwili' huku ukiwa unacheka 3. 'Chimbulumbulu kokwila mti gwagumanyile'- Mnyama anayeitwa Chimbulumbulu hupanda mti anaoufahamu. Tafakari kuhusu semi hizi za Kiluguru!

No comments: