Friday, June 29, 2012

Mama ametimiza miaka 70

Familia ya Mloka wakati wa tafrija ndogo ya kumpongeza mama yao Paulina Mloka kutimiza miaka 70 mwezi huu. Ndani ya picha yupo Freddy Mloka,Doreen Mloka,Petty Mloka na Ceasar Mloka (Watoto wa Mama P.Mloka)

No comments: