Friday, June 29, 2012

STK 933 kijijini Handeni

Magari aina ya Toyota Landcuiser 'mkonga' yanafaa sana kwa barabara za vijijini ambazo ni za udongo. Magari haya inabidi yananuliwe kwa wingi na kusambazwa kwenye vituo vya utafiti kwa shughuli za utafiti kwenye mashamba ya wakulima (Pichani STK 933 YA Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika-Idara ya Utafiti na Maendeleo ikiwa kijijini Handeni hivi karibuni katika shughuli za kufuatilia na kutathmini shughuli za utafiti Kanda ya Mashariki mwaka 2011/12)Wtafiti

No comments: