Friday, June 1, 2012

Miundo Mbinu ya Umwagiliaji

Kuendesha kilimo cha umwagiliaji inahitaji miundo mbinu ya uhakika
Banio la Umwagiliaji liloloko mto wa Ruaha- Ruaha Mbuyuni, Kilolo.
Banio la umwagiliaji maji kijiji cha Itimba
Mfereji wa umwagiliaji unaotunzwa vizuri
Baada ya kuvuna mahindi, shamba limepandwa maharage (Kijijini Itimba, Utengule-Mbeya vijijini). Hii inawezekana kupitia kilimo cha umwagiliaji.

No comments: