Friday, June 29, 2012

Utafiti wa malisho ya mifugo

Watafiti wa Kituo cha Utafiti wa Mifugo Tanga (LRC-Tanga) wanaendelea kukusanya aina mbalimbali za majani ya malisho na kuyafanyia tathmini kuweza kufahamu lishe iliyomo kwenye majani hayo na matumizi yake kwa mifugo.

No comments: