Friday, June 29, 2012

Utafiti wa viazi vitamu

Watafiti wanaendelea na utafiti wa kupata aina bora ya viazi vitamu yenye lishe nzuri, inayostahimili magonjwa na wadudu waharibifu. Kituo cha Utafiti wa Kilimo - Kibaha kinafanya kazi hiyo kwa kukusanya aina mbalimbali za viazi na kutafiti ili kuweza kupata aina bora ya mbegu za viazi kwa mazingira tofauti na kukidhi mahitaji ya walaji.

No comments: