Tuesday, June 5, 2012

Wamepokea Sakramenti ya NDOA

Takribani ni mwaka mmoja sasa tangu Bw na Bi Cleophas wapokee Sakaramenti ya Ndoa Parokiani Vikindu, Jimbo Kuu la Dar Es Salaam. Vijana wengi wanaogopa kufunga ndoa kwa kutaka makuu. Nilishuhudia ndoa hii isiyokuwa na makeke wala vitimbi. Tulikula, tulikunywa na kucheza.Wanandoa wanaendelea na maisha yao bila mfarakano. Hongereni sana.

No comments: