Friday, June 1, 2012

Nyumba hadi nyumba

Ndivyo inavyofanya kazi Jumuiya Ndogondogo za Kikristu. Hapa ni nyumbani kwa Mzee Mgaya wa Soweto-Vikindu. Jumuiya Ndogondogo zinaimarisha upendo, kutambuana na pia hutumika kulieneza Neno la Mungu.Jumuiya Ndogondogo ikitumiwa vizuri huleta maendeleo.

No comments: