Friday, June 29, 2012

Haya ni mateso

Mkazi wa Kariakoo, jijini Dar Es Salaam, Pyarali A.Pyarali (35) anasumbuliwa na maradhi ya kuvimba miguu. Mwananchi huyu alitembelea ofisi za Mwananchi Communications Ltd Tabata Relini jijini Dar Es Salaam kuwasilisha kilio chake kwa wasamaria wema kumsaidia ili aweze kupatiwa matibabu kutokana na maradhi yanayomsumbua. Binafsi hana fedha za kumudu gharama za matibabu.(Picha na maelezo kwa hisani ya gazeti la Mwananchi 29/6/2012). Wito tuisifiche maradhi punde tuyapatapo.Maradhi hayachagui rangi, dini wala kabila. TUJITOKEZE KUMSAIDIA.

No comments: