Wednesday, June 27, 2012

Karibuni LRC-Tanga

Ndivyo anavyosema Mkurugenzi wa Kituo cha Utafiti wa Mifugo- Dr. Julius Bwire. Hapa tulipta maelezo ya shughuli zilizofanyika kwa mwaka 2011/12 kuanzia utafiti, ukarabati wa majengo, ununuzi wa vifaa, na mafunzo. Hakika LRC kwa kipindi kifupi imebadilika kabisa kuna ubunifu mkubwa wa shughuli za utafiti na miundo mbinu imeanza kukarabatiwa.

No comments: