Monday, June 4, 2012

Matokeo ya kutomuaga mkeo

Baadhi ya wanaume wanatatabia yakutoka majumbani kwa bila kuwaaga wake zao. Tabia hii huwachukiza sana wanawake, hasira wanazokuwa nazo kwa wale wasiokuwa na busara hufanyiwa alichofanyiwa afande 'kulakula' (Picha kwa hisani ya Cartoonist NOAH YONGOLO)

No comments: