Wednesday, June 27, 2012

Tanga-Mombasa ni kuteleza!

Barabara ya kutoka Tanga kwenda Horohoro mpakani mwa Kenya na Tanzania kwa kiasi kikubwa imekamilika hivi ndivyo alivyoikuta Banzi wa Moro akiwa kwenye shughuli za kikazi wilayani Mkinga mkoa wa Tanga. Tanga-Mombasa sasa ni kuteleza tu!

No comments: