Monday, June 4, 2012

Ni hatari kwa watoto hawa

Hii inahatarisha maisha.Wanafunzi wengi na vijana hupenda kudandia magari ili wapate kitu kinachoitwa 'lift' lakini gharama yake mara nyingi ni kuhatarisha maisha. Angalia picha hizi ambazo zimenyakwa na Banzi wa Moro kuanzia kituo cha Kongowe hadi Mbagala Rangi 3 jijini DAR ES SALAAMNdani ya lori wanajiandaa kushuka chini Wanapanda

No comments: