Friday, June 1, 2012

Hapa ni Umalila-Mbeya

Isangati Agricultural Development Organization (IADO) kijijini Santilya, Umalila, Mbeya Vijijini. AIDO ni Shirika lisilo la Kiserikali (NGO) linalofanya kazi katika wilaya ya Mbeya Vijijini. AIDO wamewezeshwa na ASDP kupitia DADPs katika kuleta mageuzi ya kilimo wilayani Mbeya. Baadhi ya Miradi ya Kilimo inayosimamiwa na IADO ni:- Upandaji wa Miche Bora ya Kahawa, Ufugaji wa Ng'ombe wa Maziwa, Ufugaji bora wa Nguruwe, Uboreshaji wa Kuku wa Asili, Ufugaji wa samaki. Aidha IADO hutoa mafunzo ya Utawala Bora yanayowawezesha wanavijiji kufuatilia matumizi ya fedha za umma ngazi ya kijiji.
Uboreshaji wa kuku wa asili
Nje ya Ofisi ya IADO
Tunapata taarifa ya IADO kutoka kwa uongozi wa shirika.
Ukaguzi wa banda la machinjio kijijini Santilya, Mbeya vijijini.

No comments: