Wednesday, June 27, 2012

Nyumbani kwa mkulima Handeni

Hivi karibuni tulikuwa tunatathmini shughuli za utafiti kanda ya mashariki hususan mikoa ya Tanga na Pwani.Pichani tupo kijijini Magamba wilayani Handeni mkoa wa Tanga nyumbani kwa mkulima. Nyumba ni bora,anafuga mbuzi na kuku pia hulima muhogo na mahindi kwa chakula na biashara. Tunataka wakulima wetu angalau wafikie hatua hii.Vijana wataacha kukimbilia mijini.

No comments: