Sunday, August 26, 2012

Africana Group kikao cha 7

Matukio ya kikao cha 7 cha Africana Group kilichofanyika nyumbani kwa dada Ghana Kunambi Ilala Flats-Dar Es Salaam
Wanakikundi wakipitia kumbukumbu za kikao cha sita
Kabla ya kikao kuanza wengine walipata fursa ya kusoma magazeti
Mwenyeji Dada Ghana akisubiri wageni
Baada ya kikao vinywaji ruksa!
Na hatimaye tulirejea makwetu. KIKAO KIJACHO CHA AFRICANA KITAFANYIKA KIJIJINI KISEMVULE KWA INNO BANZI TAREHE 30/9/2012 JUMAPILI SAA 6.00 KARIBUNI NA WAELEZE WANAKIKUNDI WENGINE. SIKU HIYO KUTAGAWIWA T-SHIRT ZA AFRICANA KWA WALE WALIOLIPIA NA PIA USIKOSE KUJA NA FEDHA ZA KUNUNUA SHARE ZA KIKUNDI.KWA WALE AMBAO WAKO NJE YA DAR WANAWEZA KUWASILIANA KWA E-MAIL AU SIMU.

No comments: