Wednesday, August 22, 2012

Ubingwa

Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika ilishika nafasi ya kwanza kwa upande wa utafiti na mshindi wa pili kwa ujumla kwenye maonyesho ya Nanenane 2012 kanda ya Kaskazni. Pichani Mkurugenzi wa Utafiti Kanda ya Kaskazini Dr. Mboyi Mugendi akitembeza kombe kwa furaha kwenye viwanja vya Temi-Arusha

No comments: