Saturday, August 25, 2012

Utamu wa soda uinywe kwa mikono miwili!

Ndivyo ilivyo kwa mtoto Hemedi a.k.a Mzee Kasiba wakati aliposheherekea sikukuu ya Iddi El Fitri nyumbani kwa baba yake mkubwa Mzee Mkude wa Mbezi- Kibanda cha mkaa jijini Dar.

No comments: