Saturday, August 11, 2012

Kuna waliokesha kwenye banda la JKT-Oljoro

Kila mmoja alisherehekea kivyake wakati wa maonyesho ya wakulima 2012.Kwenye banda la JKT Oljoro - viwanja vya Temi, Arusha, pamoja na maonyesho ya vipando,k
ulikuwepo na huduma za vinywaji na vyakula. Naambiwa kuwa kuna waliokesha kwenye banda hilo.

No comments: