Thursday, August 2, 2012

Mbuzi wadogo

Mbuzi wakiwa wadogo wanapendeza sana. Hukimbia huko na huko. Kwa kifupi ni watundu. Mbuzi wakifugwa kitaalamu hutoa nyama choma nzuri na hata maziwa, hivyo kuboresha lishe na kipato.Pale inapowezekana fuga mbuzi.

No comments: