Friday, August 10, 2012

Hai ni zaidi ya bidhaa za shambani

Wilaya ya Hai walijipanga kisawasawa kwenye maonyesho ya Nanenane 2012 kanda ya Kaskazini yaliyofanyika kwenye viwanja vya Temi Arusha. Wakulima kwenye makundi yao ya uzalishaji walionyesha bidhaa nyingine zaidi ya mazao ya kilimo.

No comments: