Thursday, August 23, 2012

Macho yote kwenye aina ya mahindi inayovumilia ukame

ASARECA inawawezesha watafiti kutoka nchi za Afrika Mashariki na Kati ili kuweza kufanikiwa kupata aina ya mbegu ya mahindi inayovumilia ukame. Mtafiti Micah Songaleli (pichani)kutoka Tanzania ni mmoja wa watafiti hao
(Picha kwa hisani ya Jarida la The AgriForum-ASARECA - May -October 2012)

No comments: