Wednesday, August 1, 2012

Ghala la mchele - Moro

Hili ni moja ya maghala mengi binfasi ya mchele yaliyotapakaa mjini Morogoro. Mwezi Julai mwaka huu kilo moja ya mchele iliuzwa kwa sh1500/= wafanyabiashara wanabashiri kuwa hali ya upatikanaji wa mchele haitokuwa nzuri kwa mwaka ujao huenda bei ikapanda sana.

No comments: