Monday, August 27, 2012

Miatano! Miatano!

Kama kawaida mitumba na biashara ndogondogo hazikukusekana kwenye maonyesho ya aina yoyote hapa Tanzani. Ndivyo ilivyokuwa kwenye maonyeshio ya Nanenane 2012 viwanja vya Temi Arusha. Sauti za miatano, oh miatano! Miatano. Mpende mwanao! Za reoreo! buku!buku! Zilisikika kwenye vipaaza sauti vyao ambavyo vilikuwa ni burudani ya aina yake hata kama hukubahatika kununua chochote.

No comments: