Thursday, August 23, 2012

Madhara ya ' climate change'

Angalia jinsi mbuzi wanavyopata taabu ya maalisho. Kisa ni mabadiliko ya hali ya hewa. Ukame, ukame. Hata mtoto anashangaa jinsi mbuzi walivyopanda juu ya mti ili kujipatia chakula.
(Picha kwa hisani ya JARIDA LA agriForum-ASARECA)

No comments: