Friday, August 10, 2012

Nilifurahishwa na huduma za TTCL

TTCL ni kampuni kongwe ya mawasiliano nchini Tanzania. Kwenye maonyesho ya wakulima ya mwaka 2012 kanda ya Kaskazini kwenye viwanja vya Temi Jijini Arusha nilifurahishwa na huduma zao. Hapa niliweza kununua simu ndogo safi kwa bei ya sh 20,000/- na kusajiliwa hapohapo. Niliweza kununua betry charger kwa shilingi 5,000/- kwa simu yangu ya zamani ambao charger yake ilipotea. Pia niligawiwa vipeperushi pamoja na mfuko wa TTCL!

No comments: