Friday, August 10, 2012

Queleaquelea kiwanjani Themi-Arusha

Ndege waharibifu wa mazao aina ya nafaka wajulikanao kwa jina la queleaquelea waliletwa kwa maonyesho kwenye banda la Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika-Kanda ya Kaskazini viwanja vya Themi.Ili Wakulima na wadau wengine wa kilimo wawatambue na kuelimishwa madhara yake na jinsi ya kuwadhibiti wasiharibu mazao ya nafaka yakiwa shambani.

No comments: