Wednesday, August 1, 2012

Mazingira ya mkoa wa Morogoro

Mkoa wa Morogoro una mazingira tofauti tofauti.Kuna sehemu za vilima vilima na sehemu za mabonde. Kuna sehemu za baridi kali na sehemu za joto kali.Pichani ni sehemu ya bonde na mlima unaoonekana kwa mbali.

No comments: