Saturday, August 11, 2012

Hapa niliuziwa mishkaki na chips

Pembezoni mwa banda la JKT-Oljoro kulikuwa na huduma ya nyama choma, chips, mishkaki na kuku choma. Hapa niliuziwa mishkaki lakini ilibidi niisimamie kwani ukizubaa imeuzwa!

No comments: