Thursday, August 2, 2012

Uwanja wa Taifa

Manispaa ya Temeke imebahatika kuwa na viwanja vikuu viwili vya michezo. Uwanja wa Taifa na Uwanja wa UHURU. Vyote vimejengwa katika sehemu moja.Picha inaonyesha lango kuu la Uwanja wa Taifa (NATIONA STADIUM).

No comments: