Saturday, August 25, 2012

Mnyororo wa thamani wa mpunga-Wadau

Hivi karibuni, Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika uliendesha mafunzo ya muda mfupi kuhusu mnyororo wa thamani wa zao la mpunga yaliyofanyika mjini Morogoro. Pichani na baadhi ya wadau walioshiriki mafunzo hayo.

No comments: